AJALI YATOKEA AFRIKANA MBUYUNI DARA

Gari  aina ya Allteza imepata ajali hapa Africana karibu na Mbuyuni,  imewaka moto na inasemekana hakuna mtu aliyetoka kwani lilijikita kwenye mtaro na kulipuka! Katika ajali hiyo imedaiwa kuwa ndani ya gari hilo dogo kulikuwa na watu watatu ambao wameungua na kuwa majivu!

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA