AJALI MBAYA JET LUMO



Kumetokea ajali mbaya jioni hii maeneo ya Jeti Lumo mwisho wa lami Wilaya ya Temeke jijini Dar ambapo gari kubwa la mizigo limeangukia Daladala iliyokuwa kituoni. Ajali hiyo imetokea wakati gari hilo semi-trailer ikikata kona pale mwisho wa lami ambapo kontena lilianguka na kutua juu ya bodi ya daladala.


Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA