BASI LA NGANGA LAUWA,LAGONGANA NA LORI LAWAKA MOTO



WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha baada ya basi la Nganga la kutoka Dar kwenda Mbeya kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso maeneo ya Mlimani kilometa kadhaa kutoka Ruaha-Mbuyuni, katika barabara ya Iringa-Morogoro ambapo magari yote mawili yameteketea kwa moto.
Habari kutoka eneo la tukio zinasema kwamba mmoja wa watu waliofariki ni dereva wa Fuso.…




                   Baadhi ya abiria walioteketea kwenye ajali hiyo

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA