BREAKING NEWS:MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN BIN SIMBA AFARIKI DUNIA

Habari zinasema Mufti amefariki leo katika Hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam.



Taarifa zilizotolewa zinasema kuwa Mufti alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya sukari kwa muda mrefu

Comments