TUNDU LISSU AMUITA SPIKA WA BUNGE BIBI


Mbunge machachali wa Singida Mashariki Tundu Lissu baada ya kufukuzwa bungeni vikao vyote vilivyobakia,Amemwita spika wa bunge bibi mwenye maamuzi yasiyo na tija,mswaada wa mafuta na petroli umepitishwa kwa shinikizo la manufaa yake na viongozi wakuu wa nchi.Kauli hiyo ameitoa wakati wa mkutano na waandishi wa habari Ukawa wakitoa kauli ya kususia vikao vyote vilivyobakia.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA