SHIBUDA AIANDIKIA BARUA KAMATI KUU YA CHADEMA KUOMBA KUKOMA UANACHAMA




Mbunge John Shibuda ameiandikia Kamati Kuu CHADEMA kuomba kukoma uanachama 

wake ndani Chama hicho baada ya Bunge kuvunjwa wiki hii. 

-Kwa muda mrefu Mbunge John Shibuda amekuwa na mgogoro wa kimyakimya na Chama Chake.


Kamatikuu ya Chama imeridhia na kumtakia safari njema,na mafanikio mema huko aendako.

( Tunamshukuru kwa kutumia angalau busara, anaelewa nini maana ya siasa )





Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA

MAGONJWA 27 YANAYOTIBIWA NA ASALI YENYE MDALASINI