RATIBA YA KUUAGA MWILI WA KAPTENI KOMBA LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIM JEE


1





NA.


MUDA


TUKIO


MHUSIKA
 1
 12:00
– 01:00

Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani

 Kaimu
Katibu wa Bunge
 2
 01:00
– 04:00

Misa
ya kuaga mwili wa Marehemu
 
 Kanisa
Katoliki,
Parokia
ya Bikira Maria Mpalizwa
 3
 04:00
– 04:30
 Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika
Viwanja vya Karimjee
 
Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa
Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao

 Katibu
wa Bunge
 4
 04:33

Kiongozi
wa Upinzani Bungeni  kuwasili
 Kaimu
Katibu wa Bunge
 5
 04:36
Mhe.
Naibu Spika kuwasili 
 Kaimu
Katibu wa Bunge
 6
 04:39
Mhe.
Spika kuwasili 
 Mhe.
Naibu Spika
 7
04:42 
Mhe.
Waziri Mkuu kuwasili 
 Mhe.
Spika
 8
 04:50
 Mhe.
Makamu wa Rais kuwasili
 Mhe.
Spika
 9
 05:00
 Mhe.
Rais kuwasili
 Mhe.
Spika
 10
 05:00
 Mwili
wa Marehemu kuwasili  kwa gwaride
maalum la Sergeant-At-Arms

 Katibu
wa Bunge
 11
 05:00
– 05:15
 Sala
fupi



 Kanisa
Katoliki,
Parokia
ya Bikira Maria Mpalizwa
 12
 05:15
– 05:20

Wasifu
wa Marehemu
 Kaimu
Katibu wa Bunge
 13
 05:20
– 05:30
 Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)
 Katibu
Mkuu, CCM
 14
 05:30
– 05:35
 Salamu
na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
 Kiongozi
wa Upinzani Bungeni
 15
 05:35
– 05:45
 Salamu
na Rambirambi za Serikali
 Waziri
Mkuu
 16
05:45
– 05:55 
 Salamu
na Rambirambi za Uongozi wa Bunge
 Mhe.
Spika
 17
 05:55
– 06:00
 Neno la Shukrani toka kwa familia
 Mwakilishi
wa Familia
 18
 06:00
– 06:15
 Utaratibu
wa safari
 Kaimu
Katibu wa Bunge
 19
 06:15
– 07:15
 Kuaga
Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki 
 MC
 20
 07:15
 Mwili
wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege
 MC
 21
 07:20
– 07:25
 Viongozi
wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki
 
 MC
 22
 07:40
 Mwili
wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege
 Kaimu
Katibu wa Bunge
 23
 08:00
 Mwili,
Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea
 Kaimu
Katibu wa Bunge

 24
 10:00

Mwili
wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa
 Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa
 25
 10:00
– 10:15
 Mwili
wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji
 

Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa

 26
 10:15
– 11:00
 Mkuu
wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu
 Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa
 27
 11:00
– 01:00
 Mwili
wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa

Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa

Kaimu
Katibu wa Bunge

 28
 01:00
 Mwili
kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea

 MC




Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA