THE SOW BAND - UNYENYEKEVU

               

                               

Bwana Yesu asifiwe ndugu zetu Watanzania, sisi ni watoto wenu/wadogo zenu/ kaka zenu kutoka Tanga, tumeokoka tunampenda Yesu, na ndio maana tumeamua kumtumikia yeye katika kumsifu na kumuabudu, Tunaimba muziki wa Bendi, na yetu inafahamika kwa jina la THE SOW BAND ambapo ni kifupi cha  SOUL OF WORSHIP. Hivyo basi, tunapoanza kutoa sigle yetu ya kwanza ambayo ni hii inayokwenda kwa jina la UNYENYEKEVU ambayo ipo katika mtindo wa Bolingo (sebene) tunaomba mtupokee na tunaomba mchango wako kwa kwa kutembelea Youtube na kusikiliza audio yetu, kwako wewe kutembelea youtube ni jambo dogo ila kwetu utakuwa umetufanyia kitu kikubwa sana tafadhali usiache kutembelea youtube tunahitaji sana mchango wako bila hakuna THE SOW BAND. Asante sana na Mungu akubariki.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA