UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID ULIVYONOGA KUSUBIRI LOWASA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS



Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha jijini katika maandalizi ya Mkutano wa Edward Lowassa.
  

Muonekano wa uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
  


Wamasai wakitoa burudani katika maadalizi ya mkutano wa Edward Lowassa.
 

Akina mama wa Kimasai katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
  


Baadhi ya wananchi katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha

 Leo Mbunge wa Monduli Edward Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid  jijini Arusha.Maandalizi mbalimbali yanaendelea huku ilinzi ukiimarishwa kila kona.
 
Mamia ya wananchi wanaendelea kuingia katika uwanja huu kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania ikiwemo Dares salaam,Arusha,Dodoma,Kagera,Mwanza na Mbeya
 
Kila mtu katika uwanja pamoja na Watanzania wana shauku ya kutaka kufahamu Edward Lowassa atasema nini kuelekea katika uchaguzi wa Rais utakaofanyika wiki ya mwisho ya mwezi oktoba mwaka huu 2015.
 

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUKAA NA NGUVU ZA MUNGU SEHEMU YA KWANZA