ZAMBIA UCHAGUZI MKUU STORY NA PICHA HAPA
- Get link
- X
- Other Apps
Chama tawala cha Patriotic Front kinawakilishwa na Edgar Lungu na Hakainde Hichilema anayewakilisha United Party for National Development kwenye uchaguzi huo.
Tume ya Uchaguzi Zambia imesema zoezi la kuhesabu kura litaanza muda mfupi baada ya kukamilika kwa zoezi la kupiga kura na matokeo yatatangazwa ndani ya saa 48, Rais atakayeshinda atakaa madarakani kwa kipindi cha miezi 18 tu ili ufanyike uchaguzi mkuu mwingine.
- Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment