MCHEZA FILAMU WA NIGERIA MUNA ABIEKWE AFARIKI DUNIA




HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo.

Comments

Popular posts from this blog

MIKOA INAYOONGOZA KWA UCHAWI TANZANIA