AFARIKI AKIJARIBU KUWARUSHIA BOMU WENZAKE

Kuna taarifa kuwa mtu mmoja amekufa wakati akijaribu kuwarushia wenzake bomu ambalo limemlipukia mwenyewe, leo usiku huko Mazengo, Songea.

Chanzo cha kuwarushia bomu wenzake bado kujulikana, Uchunguzi bado unafanywa.

Comments

Popular posts from this blog

MIKOA INAYOONGOZA KWA UCHAWI TANZANIA