Posts

HOUSE GIRL AMNYONGA MTOTO NA KUMTUPA KWENYE DIMBWI LA MAJI

Image
Hausigeli aliyejulikana kwa jina moja la Ester (14) yupo matatani kwa madai ya kumuua mtoto Arafat Allan (3) kwa kumnyonga shingo na kumpiga na kitu kizito kichwani kisha kuutumbukiza mwili wake kwenye dimbwi la maji machafu,    Mama wa Mtoto akiwa hospital baada ya kuzimia. Akizungumza kwa uchungu, mama mzazi wa mtoto huyo, Zakia Peter ambaye amelazwa katika Zahanati ya Kellen kutokana na mshtuko wa kifo cha mwanaye, alisema siku ya tukio, hausigeli huyo aliyekuwa na siku mbili tangu aanze kazi aling’ang’ania kutumwa sokoni saa mbili asubuhi ambapo alimkubalia na kumuagiza mboga. Mama wa marehemu aliendelea kusema kuwa zoezi la kumsaka msichana huyo na mtoto wake liliendelea mpaka Jumanne iliyopita ambapo habari zilisambaa kwamba kuna maiti ya mtoto wa kiume imekutwa ikielea kwenye dimbwi la maji machafu linalotumika kumwagilia bustani za mboga maeneo hayo. mwili huo ulipelekwa katika Hospitali Teule ya Tumbi, Kibaha ambapo madaktari waliu...

JANUARY MAKAMBA: NIKISHINDWA URAIS NITARUDI JIMBONI KUGOMBEA UBUNGE

Image
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, amesema kuwa akishindwa katika mchakato wa kura za maoni za kusaka urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), atarudi jimboni kuendelea kuwatumikia wapiga kura wake.   Kutokana na hali hiyo January ambaye ni Mbunge wa Bumbuli, amewataka wananchi wake kuwapuuza watu wanaopita na kudai kuwa wanataka ubunge kwa kuwa yeye anatajwa katika kinyang’anyoro cha urais ndani ya CCM.   Kauli hiyo aliitoa juzi jimboni kwake Bumbuli, wilayani Lushoto mkoani Tanga katika mkutano wa hadhara ambapo alikuwa akizungumzia mafanikio na changamoto za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi tangu alipochaguliwa mwaka 2010.   January alitumia mkutano huo kuwashukuru wapiga kura wake kwa kumchagua kuwa mbunge mwaka 2010 huku akisema kuwa kama si wao asingeweza kutajwa katika mbio za urais ndani ya CCM.   “Kutajwa si dhambi na kwa kuwa fomu za uchaguzi si sumu si dhambi kuchukua…. na kuingia katika kinyang’anyiro ...

GODBLESS LEMA AMSHAMBULIA ZITTO KABWE, AMTUHUMU KUIKOSESHA USHINDI CHADEMA

Image
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewatoa hofu wanachama wake mkoani Shinyanga kikidai propaganda zinazoenezwa na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Bw. Zitto Kabwe, anayedai chama hicho kimepoteza mwelekeo si za kweli bali ni uongo. Mbunge wa Arusha Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa, Bw. Godbless Lema, aliyasema hayo hivi karibuni mkoani Shinyanga kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Mahakama ya Mwanzo. Alisema chama chao bado kipo imara na hakitagawanyika kama inavyodaiwa na Bw. Kabwe ambaye CHADEMA kilimfukuza katika chama baada ya kukisaliti hivyo kukiuka Katiba ya chama hicho. "Ndugu zangu wana Shinyanga, CHADEMA tupo imara na tutaendelea kuwa imara hadi tukamate dola na kuwakomboa Watanzania ambao wanateseka tangu tupate uhuru. "Zitto hana ubavu wa kukigawa chama chetu kama anavyofikiri na kuamini...anahangaika bure, alitaka kukiua tukamshtukia na mimi ndiye mtu wa kwanza kubaini njam...

RAFIKI WA NGUVU TUMA TFA 130 KWENDA 15522,SAMBAZA UPENDO KWA KUMPIGIA KURA MRISHO ZIMBWE

Image
"Marafiki ndugu zangu na mashabiki zangu wa  ukweli support   yenu kwangu niweze kupata tuzo T F A 130  kwenda 15522 asante kwa kunipigia kura na kuibuka na tuzo  ONE LOVE"

BAADA YA KUMFUMANIA MKEWE NA SERENGETI BOY WA MIAKA 16, MUME ADAI MKE WAKE ANAMAPEPO

Image
Tumaini Mwashambo anayedaiwa kupigwa na mumewe. SHANGAA! Mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Tumaini Mwashambo (28), mkazi wa Mtaa wa Half Londan, Kata ya Sogea wilayani Momba, Mbeya amejikuta akipokea kipigo kikali kutoka kwa mumewe, Jamsoni Vicent (34) akidai amemfumania na mtoto wa miaka 16 ‘Serengeti boi’. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jamsoni alisema ni mara ya pili kumfumania mke wake na huyo mtoto ambapo alisema anaamini ni sawa na kumbaka. “Mara ya kwanza niliwakuta wanaangalia mkanda wa ngono huku wakiwa peke yao, yeye na mtoto huyo kwenye nyumba yangu. Nilimuonya Tumaini kuwa tabia hiyo si nzuri lakini hakutaka kunisikiliza,” alidai mwanaume huyo. Aliendelea kudai kuwa, mara ya pili alimkuta tena mkewe huyo akiwa amempakata mtoto huyo huku wakilishana mayai, pia mke akiwa amevaa kanga moja. “Nilishangaa sana mke wangu kuwa na tabia kama hiyo ya ubakaji lakini niliishia kumuonya tu. Kweli za mwizi ni arobaini kwani nilikuja kumkamata mke wangu ak...

MSHTUKO: WACHINA WANASWA WAKITENGENEZA CONDOMS FEKI MILIONI 3

Image
Three million fake condoms confiscated in Shanghai Shanghai police busted an illegal  ‪#‎ condom‬ workshop on Tuesday, and confiscated about 3 million fake condom s. The fake goods were all produced inside the well-equipped workshop, and were sold online under big name brands such as Durex and Jissbon to small hotels. While the online cost was only 0.1 yuan ($0.016) per item, the hotels made a hefty profit by selling them to customers for around 3 yuan ($0.5), according to Xin’an Evening News.Zhang Wenliang, a Shanghai police officer on the case, explained that the issue was more than just about using fake branding. “The materials used in these products are of very low quality, and have a disgusting smell,” said Zhang, “Heavy metal elements were tested in them, which are very harmful to the human body.” The case involved over 12 million yuan ($1.9 million) at large. Up to eight municipalities and provinces in China, including Shanghai, Guangdong and Shaanxi, have seen...

ILI KUWALINDA WASIOWEZA KUSEMA HAPANA,WENYE HIV KUWEKWA ALAMA ILI KUWATAMBUA

Image
Radiocity 97FM LAW PASSED: ALL HIV POSITIVE PEOPLE WOULD BE MARKED NEAR THEIR GENITALS President Zuma signed a bill that seem to be the greatest step in history of trying to c ombat HIV. From now on every person who gets tested and found to be HIV positive would not just get  counselling and medication. They would also get a mark in a form of a tattoo near their genital according to the bill singed by the president. “The mark is to protect those who can’t say no to sex. I mean if you can’t read between the lines you should read between the legs because that’s where the status would be tatted. The choice to be HIV positive is now in your hands or your genitals for that matter….We also encourage those who had been living with the virus to go to the nearest public hospitals to get their status tatted in”. Said Jacob Zuma after signing the bill and drinking his ARV’s. WILL MARKING ALL HIV POSITIVE PEOPLE REDUCE ITS PREVALENCE RATE?